Thursday, 16 June 2016

GUARDIOLA KUMLETA VALDES MAN.CITY



Kwa mujibu wa sky sports ,Guardiola ameongea na kipa wake wa zamani Victor Valdes kuhusu uhamisho wa kumleta Manchester City, licha ya kuwa na wakati mgumu wa miezi 18 akiwa na klabu ya Manchester United.
Victor Valdés in action for Barcelona. The veteran goalkeeper could be on his way to Manchester City, and a reunion with Pep Guardiola, ahead of the new season.

No comments:

Post a Comment