Thursday, 16 June 2016

GUARDIOLA KUMLETA VALDES MAN.CITY

Kwa mujibu wa sky sports ,Guardiola ameongea na kipa wake wa zamani Victor Valdes kuhusu uhamisho wa kumleta Manchester City, licha ya kuwa na wakati mgumu wa miezi 18 akiwa na klabu ya Manchester United.

Image result for valdes
Valdes

No comments:

Post a Comment