Monday, 27 June 2016

KIUNGO DORTMUN KUMFATA ZLATAN MAN.U

Manchester United inakaribia kumsajili kiungo wa Borussia Dortmund Henrikh Mkhitaryan (27)baada ya makubalino na klabu hiyo kwa dau la euro mil.26.3
Mchezaji huyo wa kimataifa wa Armenia amekubaliana na masharti yote kupitia mwakilishi wake na ataanza vipimo wiki ijayo.

Image result for Henrikh Mkhitaryan
Henrikh Mkhitaryan

No comments:

Post a Comment