Monday, 27 June 2016

ARSENE WENGER: LUKAKU ANANIFAA

Katika kujiimarisha kwa ajili ya msimu ujao EPL Arsenal imesema kuwa inamtaka kumsajili mshambuliaji wa klabu ya Everton na mchezaji wa kimataifa wa Ubelgiji Romelu Lukaku mwenye umri wa miaka 23
Could Arsene Wenger swoop for Everton's Romelu Lukaku?
 Romelu Lukaku 

No comments:

Post a Comment