Sharapova amekata rufaa ya adhabu hiyo katika mahaka ya usuluhishi ya michezo (CAS) jana jumanne.
Mchezaji huyo wa tennis wa Urusi mwenye miaka 29 alifungiwa na Chama Cha Tenis Cha kimataifa (ITF) mapema mwezi huu kufuatia vipimo vilivogundua kuwa anatumia dawa zilizokatazwa michezoni katika michuano ya wazi ya Australia.
| Maria Sharapova(AP) |
No comments:
Post a Comment