Monday, 27 June 2016

MANE KUANZA VIPIMO LIVERPOOL

Mshambuliaji wa Southampton Sadio Mane anatarajiwa kuanza vipimo katika klabu ya Liverpool siku ya jumatatu baada ya makubaliano ya Euro mil.30 kama ada ya uhamisho kutoka Southampton

Sadio Mane (24) ambaye ni raiya wa Senegal anaonekana kuwa tumaini kubwa katika safu ya ushambuliaji Afield. 
Sadio Mane could be leaving Southampton for Liverpool
Sadio Mane

No comments:

Post a Comment