TIMU ZA KAMPENI ZA URAIS
ZARIDHISWA NA MAJIBU YA WAGOMBEA
Timu za kampeni kwa
Hillary Clinton na Donald Trump wote wameridhishwa na mwenendo ya wagombea wao
katika mdahalo wao wa kwanza wa televisheni wa kampeni za urais Marekani. Wagombea hao mahasimu wa walikuwa wakikwazana
mara kwa mara. Bwana Trump alimshtumu bi Clinton kwa kuwa mwanachama wa uzalishaji mbovu wa
kisiasa. Na Bi Clinton alisema mhasimu wake amekuwa ni aina ya mtu ambaye
anawezakukasisishwa na twita na asingepaswa kunyoosha vidole vyake popote
karibu na kodi za Nuclia za Marekani.
SHAMBULIO BAGHDAD LOAWAUWA WATU 11 NA KUJERUHI ZAID YA 50
Shambulio la bomu katika mji mkuu wa Iraq, Baghdad,limewauwa
watu kumi na mmoja na kuwajeruhi zaid ya watu hamsini. Kundi la I-S limedai
kuhusika kwa mashambulio hayo,likisema mmoja ya wapiganaji wake alijilipua
katika eneo linalokaliwa na waislimau wengi wa madhehebu ya shia mjini Baghdad
wilaya ya Jadida,likiwauwa watu nane. Shambulio jengine lililenga la mauwaji
lililenga eneo la Bayaa kusini mwa Baghdad,likiwauwa watu tisa.Mwaka huu
umeshuhudiwa idadi kubwa ya mashambulizi ya I-S katika mji mkuu wa Iraq, wakati
kundi hilo likipoteza baadhi ya majimbo maeneo mengine ya nchi hiyo.
No comments:
Post a Comment