Tuesday, 27 September 2016

RAIS WA ZAMANI WA ISRAEL AFARIKI DUNIA AKIWA NA MIAKA 93


Ripoti kutoka Israel zinasemaaliyekuwa Rais na waziri mkuu wa Israel Simon Perez amefariki usiku wa kuamkia leo. Perez alikuwa amelazwa hospitali akiugua kiharusi. 
Ndugu wa karibu wamenda hospitali ambako amekuwa huko tangu alipouguwa kiharusi wiki mbili zilizopita. Shimon Peres amelitumikia taifa la Israel kwa kipindi cha miongo miwili tofauti akiwa kama waziri mkuu na Rais wa taifa hilo. Alishinda tuzo ya

Amani kwa chama chake kwa sera zake za kisiasa na Palestina kwenye miaka ya 1990. Ni miongoni mwa kizazi cha mwisho cha wanasiasa wa Israel amabao wawahi kuwa Marais wakati wa kuzaliwa kwa taifa jipya mwaka 1948.
 

No comments:

Post a Comment