Ripoti kutoka
Israel zinasemaaliyekuwa Rais na waziri mkuu wa Israel Simon Perez amefariki
usiku wa kuamkia leo. Perez alikuwa amelazwa hospitali akiugua kiharusi.
Ndugu wa karibu wamenda hospitali ambako amekuwa huko tangu alipouguwa
kiharusi wiki mbili zilizopita. Shimon Peres amelitumikia taifa la Israel kwa
kipindi cha miongo miwili tofauti akiwa kama waziri mkuu na Rais wa taifa hilo.
Alishinda tuzo ya
Amani kwa chama chake kwa sera zake za kisiasa
na Palestina kwenye miaka ya 1990. Ni miongoni mwa kizazi cha mwisho cha wanasiasa
wa Israel amabao wawahi kuwa Marais wakati wa kuzaliwa kwa taifa jipya mwaka
1948.