Pages

Monday, 13 June 2016

DUNGA: NAOGOPA KUFA TU

Kocha wa Brazil ambaye pia ni Nahodha wa zamani wa timu hiyo amesema hohofii kibarua chake baada kutolewa nje ya michuano ya Copa America na Peru kwa Idadi ya goli 1-0.
Dunga amesisitiza kutohofia kibarua chake kwa ksema "Naogopa kifo tu."

Brazili ilitolewa kwa goli la mkono kama unavoona katika picha


BBCsports.comRuidiaz scoring the winner against Brazil

No comments:

Post a Comment