Pages

Tuesday, 27 September 2016

AFYA YA RAIS WA ZAMANI WA ISRAEL YAZIDI KUZOROTA





Ripoti kutoka Israel zinasema afya ya mwanasiasa na Rais mstaafu  Shimon Peres inaendelea kuzorota.Ndugu wa karibu wamenda hospitali ambako amekuwa huko tangu alipouguwa kiharusi wiki mbili zilizopita. Shimon Peres amelitumikia taifa la Israel kwa kipindi cha miongo miwili tofauti akiwa kama waziri mkuu na Rais wa taifa hilo. Alishinda tuzo ya Amani kwa chama chake kwa sera zake za kisiasa na Palestina kwenye miaka ya 1990. Ni miongoni mwa kizazi cha mwisho cha wanasiasa wa Israel amabao wawahi kuwa Marais wakati wa kuzaliwa kwa taifa jipya mwaka 1948.

No comments:

Post a Comment