Waendesha mashtaka wamemtaka nyota wa Brazil na Barcelona Neymar kushtakiwa kwa udanganyifu wa fedha.
Waendesha mashtaka hao kutoka mahakama ya kukabiliana na uhalifu nchini Uhispania wanadai kwamba Neymar na babaake walificha thamani ya uhamisho wa mchezaji huyo kutoka Santos hadi Barcelona
Katika mahojiano ya awali Neymar amekana kufanya makosa yoyote.
Hazina moja ya uwekezaji ambayo ilimiliki asilimia 40 ya haki za Neymar indai kwamba haikupata mgao wake kamili.
No comments:
Post a Comment