Pata habari za kitaifa, kimataifa, na michezo na burudani
Pages
▼
Thursday, 16 June 2016
PEDRO ARUDI BARCELONA
Mshambuliaji
wa Chelsea Pedro amesema ameanza mazungumzo ya awali kuhusu kurudiBarcelona baada ya msimu mmoja tu Darajani
(Stamford Bridge)
Pedro mwenye
miaka 28aliondoka Barcelona kwa
uhamisho wa Euro mil.22 kuelekea Chelsea msimu uliopita huku akishindwa
kuonyesha kiwango chake kwenye ligi kuu ya England
No comments:
Post a Comment