Pages

Monday, 27 June 2016

IBRAHIMOVIC KUANZA VIPIMO MAN.U

Zlantan Ibrahimovic anatarajiwa kuwasili Manchester United kwa ajili ya vipimo wiki ijayo.
Ibrahimovic  ambayo amejiuzulu katika timu yake ya taifa Sweden baada ya kutolewa katika hatua ya makundi kwenye michuano ya Euro 2016 atasain mkataba wa mwaka mmoja baada ya kukamilisha vipimo.


Zlatan Ibrahimovic is set to join Manchester United
Ibrahimovic

No comments:

Post a Comment