Pages

Tuesday, 14 June 2016

EVERTON YAPATA MENEJA MPYA



Everton imemthibitisha Ronald Koeman kuwa kocha wao mpya kwa mkataba wa miaka mitatu.
Everton wamekuwa hawana kocha tangu walipomtimuwa Roberto Martinez kabla ya msimu wa 2015/16 kumalizika.

Nae kocha mteule Koeman amesema kuwa  Everton ni klabu iliyo na historia kubwa pamoja na malengo ya kweli.

Taarifa rasmi ilichelewa kidogo hadi pale Koeman aliporudi kutoka likizo.
*
RONALD KOEMAN

No comments:

Post a Comment